Nehemia 12:14
Inaonyesha mstari 14 pamoja na muktadha unaouzunguka.
11
Yoyada alikuwa baba wa Yonathani, na Yonathani alikuwa baba wa Yadua.
12
Katika siku za Yoyakimu, kulikuwa na wakuu wa jamaa za kikuhani: wa jamaa ya Seraya, Meraya; wa jamaa ya Yeremia, Hanania;
13
wa jamaa ya Ezra, Meshulamu; wa jamaa ya Amaria, Yehohanani;
14
wa jamaa ya Maluki, Yonathani; wa jamaa ya Shebania, Yosefu;
15
wa jamaa ya Harimu, Adna; wa jamaa ya Meremothi, Helkai;
16
wa jamaa ya Ido, Zekaria; wa jamaa ya Ginethoni, Meshulamu;
17
wa jamaa ya Abiya, Zikri; wa jamaa ya Miniamini na ya Maazia, Piltai;
Settings