Nehemia 12:13
Inaonyesha mstari 13 pamoja na muktadha unaouzunguka.
10
Yeshua alikuwa baba wa Yoyakimu, Yoyakimu alikuwa baba wa Eliashibu, Eliashibu alikuwa baba wa Yoyada,
11
Yoyada alikuwa baba wa Yonathani, na Yonathani alikuwa baba wa Yadua.
12
Katika siku za Yoyakimu, kulikuwa na wakuu wa jamaa za kikuhani: wa jamaa ya Seraya, Meraya; wa jamaa ya Yeremia, Hanania;
13
wa jamaa ya Ezra, Meshulamu; wa jamaa ya Amaria, Yehohanani;
14
wa jamaa ya Maluki, Yonathani; wa jamaa ya Shebania, Yosefu;
15
wa jamaa ya Harimu, Adna; wa jamaa ya Meremothi, Helkai;
16
wa jamaa ya Ido, Zekaria; wa jamaa ya Ginethoni, Meshulamu;
Settings