Skip to content
Nehemia 12:1-7

Nehemia 12:1-7

1
Hawa wafuatao walikuwa makuhani na Walawi ambao walirudi na Zerubabeli mwana wa Shealtieli pamoja na Yeshua: Seraya, Yeremia, Ezra,
2
Amaria, Maluki, Hatushi,
3
Shekania, Rehumu, Meremothi,
4
Ido, Ginethoni, Abiya,
5
Miyamini, Moadia, Bilga,
6
Shemaya, Yoyaribu, Yedaya,
7
Salu, Amoki, Hilkia na Yedaya. Hawa walikuwa viongozi wa makuhani na wenzao wakati wa Yeshua.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options