Nehemia 10:1-8
1
Wale waliotia muhuri walikuwa: Nehemia mtawala, mwana wa Hakalia. Sedekia,
2
Seraya, Azaria, Yeremia,
3
Pashuri, Amaria, Malkiya,
4
Hatushi, Shebania, Maluki,
5
Harimu, Meremothi, Obadia,
6
Danieli, Ginethoni, Baruku,
7
Meshulamu, Abiya, Miyamini,
8
Maazia, Bilgai na Shemaya. Hawa ndio waliokuwa makuhani.
Settings