Nehemia 10:1-27
1
Wale waliotia muhuri walikuwa: Nehemia mtawala, mwana wa Hakalia. Sedekia,
2
Seraya, Azaria, Yeremia,
3
Pashuri, Amaria, Malkiya,
4
Hatushi, Shebania, Maluki,
5
Harimu, Meremothi, Obadia,
6
Danieli, Ginethoni, Baruku,
7
Meshulamu, Abiya, Miyamini,
8
Maazia, Bilgai na Shemaya. Hawa ndio waliokuwa makuhani.
9
Walawi: Yeshua mwana wa Azania, Binui wa wana wa Henadadi, Kadmieli,
10
na wenzao: Shebania, Hodia, Kelita, Pelaya, Hanani,
11
Mika, Rehobu, Hashabia,
12
Zakuri, Sherebia, Shebania,
13
Hodia, Bani na Beninu.
14
Viongozi wa watu: Paroshi, Pahath-Moabu, Elamu, Zatu, Bani,
15
Buni, Azgadi, Bebai,
16
Adoniya, Bigwai, Adini,
17
Ateri, Hezekia, Azuri,
18
Hodia, Hashumu, Besai,
19
Harifu, Anathothi, Nebai,
20
Magpiashi, Meshulamu, Heziri,
21
Meshezabeli, Sadoki, Yadua,
22
Pelatia, Hanani, Anaya,
23
Hoshea, Hanania, Hashubu,
24
Haloheshi, Pilha, Shobeki,
25
Rehumu, Hashabna, Maaseya,
26
Ahiya, Hanani, Anani,
27
Maluki, Harimu na Baana.
Settings