Mathayo 7:9-11
9
“Au ni nani miongoni mwenu ambaye mwanawe akimwomba mkate atampa jiwe?
10
Au mwanawe akimwomba samaki atampa nyoka?
11
Ikiwa ninyi basi mlio waovu mnajua kuwapa watoto wenu vitu vizuri, si zaidi sana Baba yenu aliye mbinguni atawapa vitu vizuri wale wamwombao?