Rukia maudhui
Mathayo 6:19-21

Hazina Mbinguni

Mathayo 6:19-21
19
“Msijiwekee hazina duniani, mahali ambapo nondo na kutu huharibu, nao wevi huvunja na kuiba.
20
Lakini jiwekeeni hazina mbinguni, mahali ambapo nondo na kutu haviharibu, wala wevi hawavunji na kuiba.
21
Kwa sababu mahali hazina yako ilipo, hapo ndipo pia moyo wako utakapokuwa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options