Skip to content
Mathayo 27:51-53

Mathayo 27:51-53

51
Wakati huo huo pazia la Hekalu likachanika vipande viwili, kuanzia juu hadi chini. Dunia ikatetemeka na miamba ikapasuka.
52
Makaburi yakafunguka na miili ya watakatifu waliokuwa wamekufa ikafufuliwa.
53
Wakatoka makaburini, na baada ya Yesu kufufuka, waliingia kwenye Mji Mtakatifu na kuwatokea watu wengi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options