Skip to content
Mathayo 27:30-31

Mathayo 27:30-31

30
Wakamtemea mate, wakachukua ile fimbo wakampiga kichwani tena na tena.
31
Baada ya kumdhihaki, wakamvua lile joho, wakamvika tena nguo zake. Kisha wakampeleka ili wakamsulubishe.

See also

Where else Scripture says this.

  • Isaya 50:6

    Niliwapa mgongo wangu wale wanipigao, mashavu yangu wale wangʼoao ndevu zangu; sikuuficha uso wangu kutokana na fedheha na kutemewa mate.
    from verse 30
  • Mathayo 26:67

    Kisha wakamtemea mate usoni na wengine wakampiga ngumi. Wengine wakampiga makofi
    from verse 30
  • Isaya 53:7

    Alionewa na kuteswa, hata hivyo hakufungua kinywa chake; aliongozwa kama mwana-kondoo apelekwaye machinjoni, kama vile kondoo anyamazavyo mbele ya wao wamkataye manyoya, hivyo hakufungua kinywa chake.
    from verse 30
  • Marko 15:19

    Wakampiga kwa fimbo ya mwanzi tena na tena kichwani na kumtemea mate. Wakapiga magoti mbele yake, wakamsujudia kwa kumdhihaki.
    from verse 30
  • Isaya 49:7

    Hili ndilo asemalo Bwana, yeye Mkombozi na Aliye Mtakatifu wa Israeli, kwake yeye aliyedharauliwa na kuchukiwa na taifa, kwa mtumishi wa watawala: “Wafalme watakuona na kusimama, wakuu wataona na kuanguka kifudifudi, kwa sababu ya Bwana, aliye mwaminifu, yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli, aliyekuchagua wewe.”
    from verse 30
  • Isaya 52:14

    Kama walivyokuwa wengi walioshangazwa naye, kwani uso wake ulikuwa umeharibiwa sana zaidi ya mtu yeyote na umbo lake kuharibiwa zaidi ya mfano wa mwanadamu:
    from verse 30
  • Isaya 53:3

    Alidharauliwa na kukataliwa na wanadamu, mtu wa huzuni nyingi, ajuaye mateso. Kama mtu ambaye watu humficha nyuso zao, alidharauliwa, wala hatukumhesabu kuwa kitu.
    from verse 30
  • Ayubu 30:8

    Wao ni watoto wa wapumbavu wenye asili ya ubaya, waliofukuzwa watoke katika nchi.
    from verse 30
  • Ayubu 30:10

    Wananichukia sana na kujitenga nami, wala hawasiti kunitemea mate usoni.
    from verse 30
  • Luka 18:32

    Kwa kuwa atatiwa mikononi mwa watu wasiomjua Mungu, nao watamdhihaki, watamtukana na kumtemea mate, watampiga mijeledi na kumuua.
    from verse 30
  • Luka 18:33

    Naye siku ya tatu atafufuka.”
    from verse 30
  • Mika 5:1

    Panga majeshi yako, ee mji wa majeshi, kwa kuwa kuzingirwa kumepangwa dhidi yetu. Watampiga mtawala wa Israeli shavuni kwa fimbo.
    from verse 30

Where this happens

All Matthew Sites (Jerusalem)
All Matthew Sites (Jerusalem) View full PDF
The Last Week of Jesus' Life (With Reference Table)
The Last Week of Jesus' Life (With Reference Table) View full PDF
The Last Week of Jesus' Life (Map Only)
The Last Week of Jesus' Life (Map Only) View full PDF

Map © Biblica Open Bible Maps · CC BY-SA 4.0

Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options