Skip to content
Mathayo 26:48-50

Mathayo 26:48-50

48
Basi msaliti alikuwa amewapa hao watu ishara, kwamba: “Yule nitakayembusu ndiye. Mkamateni.”
49
Mara Yuda akamjia Yesu na kumsalimu, “Salamu, Rabi!” Akambusu.
50
Yesu akamwambia, “Rafiki, fanya kile ulichokuja kufanya hapa.” Kisha wale watu wakasogea mbele, wakamkamata Yesu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options