Skip to content
Mathayo 26:3-5

Mathayo 26:3-5

3
Basi viongozi wa makuhani na wazee wa watu wakakusanyika katika jumba la utawala la kuhani mkuu, jina lake Kayafa.
4
Wakafanya shauri ili kumkamata Yesu kwa siri na kumuua.
5
Lakini wakasema, “Isiwe wakati wa Sikukuu, kusitokee ghasia miongoni mwa watu.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options