Skip to content
Mathayo 24:48-51

Mathayo 24:48-51

48
Lakini kama huyo mtumishi ni mwovu, naye akasema moyoni mwake, ‘Bwana wangu atakawia muda mrefu,’
49
kisha akaanza kuwapiga watumishi wenzake, na kula na kunywa pamoja na walevi.
50
Basi bwana wa mtumishi huyo atakuja siku asiyodhani na saa asiyoijua.
51
Atamkata vipande vipande na kumweka katika sehemu moja pamoja na wanafiki, mahali ambako kutakuwa ni kulia na kusaga meno.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options