Skip to content
Mathayo 24:4-7

Mathayo 24:4-7

4
Yesu akawajibu, “Jihadharini, mtu yeyote asiwadanganye.
5
Kwa maana wengi watakuja kwa Jina langu, wakidai, ‘Mimi ndiye Kristo,’nao watawadanganya wengi.
6
Mtasikia habari za vita na matetesi ya vita. Angalieni msitishike, kwa maana haya hayana budi kutukia. Lakini ule mwisho bado.
7
Taifa litainuka dhidi ya taifa, na ufalme dhidi ya ufalme. Kutakuwa na njaa na mitetemeko ya ardhi sehemu mbalimbali.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options