Skip to content
Mathayo 24:32-33

Mathayo 24:32-33

32
“Basi jifunzeni somo hili kutokana na mtini: Matawi yake yanapoanza kuchipua na kutoa majani, mnatambua kwamba wakati wa kiangazi umekaribia.
33
Vivyo hivyo, myaonapo mambo haya yote, mnatambua kwamba wakati u karibu, hata malangoni.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options