Mathayo 24:15-18
15
“Hivyo mtakapoona lile ‘chukizo la uharibifu’ lililonenwa na nabii Danieli limesimama mahali patakatifu (asomaye na afahamu),
16
basi wale walioko Uyahudi wakimbilie milimani.
17
Yeyote aliye juu ya dari ya nyumba asishuke ili kuchukua chochote kutoka ndani ya nyumba.
18
Aliye shambani asirudi nyumbani kuchukua vazi lake.
Settings