跳到主要内容
Mathayo 23:37-39

Mathayo 23:37-39

37
“Ee Yerusalemu, Yerusalemu, uwauaye manabii na kuwapiga mawe wale waliotumwa kwako! Mara ngapi nimetamani kuwakusanya watoto wako pamoja, kama vile kuku akusanyavyo vifaranga wake chini ya mabawa yake, lakini hukutaka!
38
Tazama nyumba yenu imeachwa ukiwa.
39
Kwa maana nawaambia, hamtaniona tena tangu sasa mpaka mtakaposema, ‘Amebarikiwa yeye ajaye kwa Jina la Bwana.’ ”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options