Mathayo 22:34-36
34
Mafarisayo waliposikia kwamba Yesu alikuwa amewanyamazisha Masadukayo, Mafarisayo wakakusanyika pamoja.
35
Mmoja wao, mtaalamu wa sheria, akamuuliza swali ili kumjaribu, akisema,
36
“Mwalimu, ni amri ipi katika Sheria iliyo kuu kuliko zote?”