Skip to content
Mathayo 22:18-22

Mathayo 22:18-22

18
Lakini Yesu, akijua makusudi yao mabaya, akawaambia, “Enyi wanafiki, kwa nini mnajaribu kunitega?
19
Nionyesheni hiyo sarafu inayotumika kwa kulipia kodi.” Wakamletea dinari.
20
Naye akawauliza, “Sura hii ni ya nani? Na maandishi haya ni ya nani?”
21
Wakamjibu, “Ni vya Kaisari.” Basi Yesu akawaambia, “Mpeni Kaisari kilicho cha Kaisari, naye Mungu mpeni kilicho cha Mungu.”
22
Waliposikia hili, wakashangaa. Hivyo wakamwacha, wakaenda zao.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options