Skip to content
Mathayo 17:3-5

Mathayo 17:3-5

3
Ghafula wakawatokea mbele yao Mose na Eliya, wakizungumza na Yesu.
4
Ndipo Petro akamwambia Yesu, “Bwana, ni vyema sisi tukae hapa. Ukitaka, nitafanya vibanda vitatu: kimoja chako, kingine cha Mose na kingine cha Eliya.”
5
Petro alipokuwa angali ananena, ghafula wingu lililongʼaa likawafunika, na sauti ikatoka kwenye hilo wingu ikisema, “Huyu ni Mwanangu mpendwa. Ninapendezwa naye sana. Msikieni yeye.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options