Skip to content
Mathayo 14:30-31

Mathayo 14:30-31

30
Lakini alipoona upepo mkali aliingiwa na hofu, naye akaanza kuzama, huku akipiga kelele, “Bwana, niokoe!”
31
Mara Yesu akaunyoosha mkono wake na kumshika, akamwambia, “Wewe mwenye imani haba, kwa nini uliona shaka?”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options