Skip to content
Mathayo 13:49-50

Mathayo 13:49-50

49
Hivi ndivyo itakavyokuwa wakati wa mwisho wa dunia. Malaika watakuja na kuwatenganisha watu waovu na watu wenye haki.
50
Nao watawatupa hao waovu katika tanuru la moto ambako kutakuwa na kilio na kusaga meno.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options