Rukia maudhui
Mathayo 13:31-32

Mfano wa Mbegu ya Haradali

Mathayo 13:31-32
31
Akawaambia mfano mwingine, akasema, “Ufalme wa Mbinguni ni kama punje ya haradali, ambayo mtu aliichukua, akaipanda shambani mwake.
32
Ingawa mbegu hiyo ni ndogo kuliko mbegu zote, lakini inapokua ni mmea mkubwa kuliko yote ya bustanini, nao huwa mti mkubwa, hadi ndege wa angani wanakuja na kutengeneza viota katika matawi yake.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options