Skip to content
Mathayo 10:5-8

Mathayo 10:5-8

5
Hawa kumi na wawili, Yesu aliwatuma akawaagiza: “Msiende miongoni mwa watu wa Mataifa, wala msiingie mji wowote wa Wasamaria.
6
Lakini afadhali mshike njia kuwaendea kondoo wa nyumba ya Israeli waliopotea.
7
Wakati mnapokwenda, hubirini mkisema, ‘Ufalme wa Mbinguni umekaribia.’
8
Ponyeni wagonjwa, fufueni wafu, takaseni wenye ukoma, toeni pepo wachafu. Mmepata bure, toeni bure.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options