Skip to content
Mathayo 10:34-37

Mathayo 10:34-37

34
“Msidhani kwamba nimekuja kuleta amani duniani. Sikuja kuleta amani bali upanga.
35
Kwa maana nimekuja kumfitini “ ‘mtu na babaye, binti na mamaye, mkwe na mama mkwe wake;
36
nao adui za mtu watakuwa ni wale watu wa nyumbani kwake.’
37
“Yeyote ampendaye baba yake au mama yake kuliko anavyonipenda mimi, hastahili kuwa wangu. Yeyote ampendaye mwanawe au binti yake kuliko anavyonipenda mimi, hastahili kuwa wangu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options