Skip to content
Marko 6:45-46

Marko 6:45-46

45
Mara Yesu akawaambia wanafunzi wake waingie kwenye mashua watangulie kwenda Bethsaida, wakati yeye alikuwa akiwaaga wale makutano.
46
Baada ya kuwaaga wale watu, akaenda mlimani kuomba.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options