Skip to content
Marko 3:31

Marko 3:31

Inaonyesha mstari 31 pamoja na muktadha unaouzunguka.
28
Amin, nawaambia, dhambi zote na makufuru yote ya wanadamu watasamehewa.
29
Lakini yeyote anayemkufuru Roho Mtakatifu hatasamehewa kamwe, atakuwa na hatia ya dhambi ya milele.”
30
Yesu alisema hivi kwa sababu walikuwa wanasema, “Ana pepo mchafu.”
31
Kisha wakaja ndugu zake Yesu pamoja na mama yake. Wakasimama nje, wakamtuma mtu kumwita.
32
Umati wa watu ulikuwa umeketi kumzunguka, nao wakamwambia, “Mama yako na ndugu zako wako nje, wanakutafuta.”
33
Akawauliza, “Mama yangu na ndugu zangu ni nani?”
34
Kisha akawatazama wale watu waliokuwa wameketi kumzunguka pande zote, akasema, “Hawa ndio mama yangu na ndugu zangu.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options