Marko 3:16-19
16
Hawa ndio wale kumi na wawili aliowachagua: Simoni (ambaye alimwita Petro);
17
Yakobo mwana wa Zebedayo, na Yohana nduguye (ambao aliwaita Boanerge, maana yake Wana wa Ngurumo);
18
Andrea, Filipo, Bartholomayo, Mathayo, Tomaso, Yakobo mwana wa Alfayo, Thadayo, Simoni Mkananayo,
19
na Yuda Iskariote aliyemsaliti Yesu.
Settings