Skip to content
Marko 3:16-19

Marko 3:16-19

16
Hawa ndio wale kumi na wawili aliowachagua: Simoni (ambaye alimwita Petro);
17
Yakobo mwana wa Zebedayo, na Yohana nduguye (ambao aliwaita Boanerge, maana yake Wana wa Ngurumo);
18
Andrea, Filipo, Bartholomayo, Mathayo, Tomaso, Yakobo mwana wa Alfayo, Thadayo, Simoni Mkananayo,
19
na Yuda Iskariote aliyemsaliti Yesu.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options