Rukia maudhui
Marko 15:3-5

Marko 15:3-5

3
Viongozi wa makuhani wakamshtaki kwa mambo mengi.
4
Pilato akamuuliza tena, “Je, huna la kujibu? Tazama ni mashtaka mangapi wanayaleta juu yako.”
5
Lakini Yesu hakujibu lolote, hivyo Pilato akashangaa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options