Rukia maudhui
Marko 14:22-23

Marko 14:22-23

22
Walipokuwa wanakula, Yesu akachukua mkate, akashukuru, akaumega na kuwapa wanafunzi wake, akisema, “Twaeni mle; huu ndio mwili wangu.”
23
Kisha akakitwaa kikombe, akashukuru, akawapa, nao wote wakanywa kutoka humo.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options