Skip to content
Marko 13:5-8

Marko 13:5-8

5
Yesu akawaambia: “Jihadharini mtu yeyote asiwadanganye.
6
Wengi watakuja kwa Jina langu wakidai, ‘Mimi ndiye,’ nao watawadanganya wengi.
7
Msikiapo habari za vita na uvumi wa vita, msiwe na hofu. Mambo haya hayana budi kutukia, lakini ule mwisho bado.
8
Taifa litainuka dhidi ya taifa na ufalme dhidi ya ufalme. Kutakuwa na mitetemeko sehemu mbalimbali na njaa. Haya yatakuwa ndio mwanzo wa utungu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options