Marko 1:40-43
40
Mtu mmoja mwenye ukoma alimjia Yesu, akamwomba akipiga magoti, akamwambia, “Ukitaka, waweza kunitakasa.”
41
Yesu, akiwa amejawa na huruma, akanyoosha mkono wake akamgusa, akamwambia, “Nataka. Takasika!”
42
Mara ukoma ukamtoka, naye akatakasika.
43
Baada ya Yesu kumwonya vikali, akamruhusu aende zake
Settings