Tsallake zuwa abun ciki
Marko 1:32-34

Marko 1:32-34

32
Jioni ile baada ya jua kutua, watu wakamletea Yesu wagonjwa wote na waliopagawa na pepo wachafu.
33
Mji wote ukakusanyika mbele ya nyumba hiyo.
34
Yesu akawaponya watu wengi waliokuwa na magonjwa ya aina mbalimbali. Akawatoa pepo wachafu wengi, lakini hakuwaacha hao pepo wachafu waseme, kwa sababu walimjua yeye ni nani.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options