Przejdź do treści
Marko 1:16-18

Marko 1:16-18

16
Yesu alipokuwa akitembea kando ya Bahari ya Galilaya, aliwaona Simoni na Andrea nduguye wakizitupa nyavu zao baharini, kwa kuwa wao walikuwa wavuvi.
17
Yesu akawaambia, “Njooni, nifuateni nami nitawafanya mwe wavuvi wa watu.”
18
Mara wakaacha nyavu zao, wakamfuata.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options