Rukia maudhui
Malaki 2:1-3

Hukumu ya Makuhani

Malaki 2:1-3
1
“Sasa onyo hili ni kwa ajili yenu, enyi makuhani.
2
Kama hamtasikiliza, na kama hamtaki kuielekeza mioyo yenu kuheshimu Jina langu, nitatuma laana juu yenu, nami nitalaani baraka zenu. Naam, nimekwisha kuzilaani, kwa sababu hamkuielekeza mioyo yenu kuniheshimu mimi,” Asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.
3
“Kwa sababu yenu nitawakatilia mbali wazao wenu. Nitazipaka nyuso zenu mavi, mavi ya dhabihu zenu. Nanyi mtafukuzwa pamoja nazo mtoke mbele zangu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options