Skip to content
Luka 9:53-56

Luka 9:53-56

53
lakini watu wa kijiji kile hawakumkaribisha kwa sababu alikuwa anakwenda zake Yerusalemu.
54
Wanafunzi wake, yaani Yakobo na Yohana, walipoona hayo, wakasema: “Bwana, unataka tuagize moto kutoka mbinguni ili uwaangamize?”
55
Yesu akageuka na kuwakemea,
56
nao wakaenda kijiji kingine.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options