Skip to content
Luka 9:37-40

Luka 9:37-40

37
Kesho yake waliposhuka kutoka mlimani, alikutana na umati mkubwa wa watu.
38
Mtu mmoja katika ule umati wa watu akapaza sauti, akasema, “Mwalimu, naomba umwangalie mwanangu, kwani ndiye mtoto wangu wa pekee.
39
Mara kwa mara pepo mchafu humpagaa na kumfanya apige kelele, kisha humwangusha na kumtia kifafa hata akatokwa na povu kinywani. Huyo pepo mchafu anamtesa sana, na hamwachi ila mara chache.
40
Niliwaomba wanafunzi wako wamtoe huyo pepo mchafu, lakini hawakuweza.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options