Rukia maudhui
Luka 6:37-38

Kuwahukumu Wengine na Kutoa kwa Ukarimu

Luka 6:37-38
37
“Msihukumu, nanyi hamtahukumiwa. Msilaumu, nanyi hamtalaumiwa. Sameheni, nanyi mtasamehewa.
38
Wapeni watu vitu, nanyi mtapewa. Kipimo cha kujaa na kushindiliwa na kusukwasukwa hata kumwagika, ndicho watu watakachowapa vifuani mwenu. Kwa kuwa kipimo kile mpimacho, ndicho mtakachopimiwa.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options