Skip to content
Luka 5:30-32

Luka 5:30-32

30
Lakini Mafarisayo na walimu wa sheria waliokuwa wa dhehebu lao wakawalalamikia wanafunzi wa Yesu, wakisema, “Mbona mnakula na kunywa pamoja na watoza ushuru na ‘wenye dhambi’?”
31
Yesu akawajibu, “Wenye afya hawahitaji tabibu, bali walio wagonjwa.
32
Sikuja kuwaita wenye haki, bali wenye dhambi wapate kutubu.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options