Skip to content
Luka 20:30-32

Luka 20:30-32

30
Kisha yule wa pili akamwoa huyo mjane, naye akafa bila mtoto,
31
naye wa tatu pia akamwoa. Vivyo hivyo ndugu wote saba wakawa wamemwoa huyo mwanamke, na wote wakafa pasipo yeyote kupata mtoto.
32
Mwishowe, yule mwanamke naye akafa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options