Luka 18:25-27
25
Hakika ni rahisi zaidi kwa ngamia kupita kwenye tundu la sindano kuliko mtu tajiri kuingia katika Ufalme wa Mungu.”
26
Wale waliosikia haya wakauliza, “Ni nani basi awezaye kuokoka?”
27
Yesu akajibu, “Yasiyowezekana kwa wanadamu yanawezekana kwa Mungu.”