Rukia maudhui
Luka 17:20-21

Kuja kwa Ufalme wa Mungu

Luka 17:20-21
20
Yesu alipoulizwa na Mafarisayo Ufalme wa Mungu utakuja lini, yeye akawajibu, “Ufalme wa Mungu hauji kwa kuchunguza kwa bidii,
21
wala watu hawatasema, ‘Huu hapa,’ au ‘Ule kule,’ kwa maana Ufalme wa Mungu umo ndani yenu.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options