Rukia maudhui
Luka 14:1-2

Luka 14:1-2

1
Ikawa siku moja Yesu alipokuwa amekwenda kula chakula kwa mmoja wa viongozi wa Mafarisayo siku ya Sabato, watu walikuwa wakimchunguza kwa bidii.
2
Papo hapo mbele yake palikuwa na mtu mmoja mwenye ugonjwa wa kuvimba mwili.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options