Rukia maudhui
Luka 11:27-28

Heri ya Kweli

Luka 11:27-28
27
Ikawa Yesu alipokuwa akisema hayo, mwanamke mmoja katikati ya ule umati wa watu akapaza sauti akasema, “Limebarikiwa tumbo lililokuzaa na matiti uliyonyonya!”
28
Yesu akajibu, “Wamebarikiwa zaidi wale wanaolisikia neno la Mungu na kulitii.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options