Rukia maudhui
Walawi 26:18-20

Hatua ya Kwanza ya Hukumu: Adhabu Mara Saba

Walawi 26:18-20
18
“ ‘Kama baada ya haya yote hamtanisikiliza, nitawaadhibu mara saba zaidi kwa ajili ya dhambi zenu.
19
Nitakivunja kiburi chenu cha ukaidi na kuifanya anga iliyo juu yenu iwe kama chuma, na ardhi yenu kama shaba.
20
Nguvu zenu zitatumika bila ya mafanikio, kwa sababu ardhi yenu haitawazalia mazao yake, wala miti ya nchi yenu haitazaa matunda yake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options