Rukia maudhui
Walawi 22:20-21

Walawi 22:20-21

20
Kamwe usitoe kitu chochote chenye dosari kwa sababu hakitakubaliwa kwa niaba yako.
21
Mtu yeyote aletapo sadaka ya amani kwa Bwana kutoka kundi la ngʼombe au mbuzi ili kutimiza nadhiri maalum au sadaka ya hiari, lazima sadaka hiyo isiwe na dosari au waa ili ikubalike.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options