Rukia maudhui
Walawi 17:15-16

Sheria za Usafi Kuhusu Kula Mizoga

Walawi 17:15-16
15
“ ‘Mtu yeyote, awe mzawa au mgeni, ambaye atakula mzoga wa kitu chochote ama kilichouawa na wanyama mwitu ni lazima afue nguo zake na aoge kwa maji, naye atakuwa najisi kwa kawaida ya ibada mpaka jioni, kisha atakuwa safi.
16
Lakini kama hakufua nguo zake na kuoga, atakuwa na hatia kwa kosa hilo.’ ”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options