Skip to content
Walawi 14:54-57

Walawi 14:54-57

54
Haya ndiyo masharti kuhusu aina yoyote ya ugonjwa wa ngozi wa kuambukiza, mwasho wowote,
55
upele ndani ya nguo au ndani ya nyumba,
56
kwa uvimbe, vipele au kipaku kingʼaacho,
57
kupambanua wakati kitu fulani ni safi au najisi. Haya ndiyo masharti kuhusu magonjwa ya ngozi ya kuambukiza na upele.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options