Skip to content
Walawi 15:1

Walawi 15:1

Inaonyesha mstari 1 pamoja na muktadha unaouzunguka.
1
Bwana akawaambia Mose na Aroni,
2
“Semeni na Waisraeli mwaambie: ‘Wakati mtu yeyote anapotokwa na usaha mwilini, usaha huo ni najisi.
3
Iwe unaendelea kutiririka kutoka mwilini mwake au umeziba, utamfanya kuwa najisi. Hivi ndivyo usaha wake utakavyomletea unajisi:
4
“ ‘Kitanda chochote atakacholalia mtu mwenye kutokwa na usaha kitakuwa najisi, na chochote atakachokalia kitakuwa najisi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options