Rukia maudhui
Walawi 11:20-23

Wadudu Wenye Mabawa Walio Safi na Wasio Safi

Walawi 11:20-23
20
“ ‘Wadudu wote warukao ambao hutembea kwa miguu minne watakuwa chukizo kwenu.
21
Lakini wako viumbe wenye mabawa ambao hutembea kwa miguu minne mtakaowala: wale wenye vifundo katika miguu yao ya kurukaruka juu ya ardhi.
22
Miongoni mwa hawa, mtakula nzige wa aina zote, senene, parare au panzi.
23
Lakini viumbe wengine wote wenye mabawa na wenye miguu minne ni machukizo kwenu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options