Skip to content
Walawi 11:13-19

Walawi 11:13-19

13
“ ‘Wafuatao ndio ndege watakaokuwa machukizo kwenu, hivyo msiwale kwa sababu ni chukizo: tai, furukombe, kipungu,
14
mwewe mwekundu, aina zote za mwewe mweusi,
15
aina zote za kunguru,
16
mbuni, kiruka-njia, dudumizi, kipanga, shakwe, aina zote za kipanga,
17
bundi, mnandi, bundi mkubwa,
18
mumbi, mwari, nderi,
19
korongo, koikoi wa aina yoyote, hudihudi na popo.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options